Wananchi mbalimbali wakipita katika banda la Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi NEEC kuangalia bidhaa mbalimbali zinazotengenezwa na wajasiriamali wahapa nchini kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu JK Nyerere, Jijini Dar es Salaam.
Wananchi wakipita kuangalia bidhaa za wajasirmalai wadogo hapa nchini walioko kwenye banda la Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...