Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,(katikati) akifuatana na ujumbe wake walipotembelea katikaa kituo cha ufugaji wa ngombe wa maziwa kwa Familia ya Bw.Captein Nchini Uholanzi katika ziara ya Kiserikali.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Frank Captein,wakati alipotembelea ndama wadogo jinsi wanavyolelewa katika famili ya BW.Captein,Nchini Uholanzi akiwa katika ziara ya kiserikali na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Frank Captein,namna ya utengeneza ji wa Jibini (Cheese)alipotembelea eneo hilo akiwa na ujumbe wake.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkurugenzi wa Kituo cha habari kwa wafugaji wa Ngo'mbe wa maziwa Reimond Van Gent,alipofika kuangalia familia ya ufugaji wa Ngo'mbe wa maziwa na utengenezaaji wa Jibini (Cheese) akiwa katika ziara nchini Uhiolanzi .
Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,akitia saini na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya Shell ya uholanzi na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto)makubaliano ya ushiriano katika sekta ya gesi na mafuta katika ukumbi wa ofisi ya kampuni hiyo Mjini Uholanzi alipokuwa katika ziara ya Kiserikali,ujumbe ulioongozwa na Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.AliMohamed Shein.
Waziri wa Ardhi,Maji,Makaazi na Nishati Ramadhan Abdalla Shaaban,akibadilishana hati ya makubaliano baada ya kutia saini na Meneja Uhusiano wa Kampuni ya Mafuta ya Shell ya uholanzi na Serikali za Afrika Mashariki Axel Knospe,(kushoto)makubaliano ya ushiriano katika sekta ya gesi na mafuta katika ukumbi wa ofisi ya kampuni hiyo Mjini Uholanzi alipokuwa katika ziara ya Kiserikali,ujumbe ulioongozwa na Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la mapinduzi Dk.AliMohamed Shein.[Picha na Ramadhan Othman,Uholanzi.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Hotuba moja ya Hayati Julius Kambarage Nyerere alipokuwa nchi za Magharibi:

    ...''Here in your western countries when you hear some one saying I am a Farmer it means he is rich, but when you hear in Developing countries of the world where I come from someone saying I am a Farmer it means he is poor'' !!!

    Sasa Wadau angalieni huyo Mkulima mfugaji wa ng'ombe Uholanzi ni Tajiri akiwa labda na ngombe 100 tu hivi au chini ya idadi hiyo, wakati huku kwetu Tanzania mtu hata akiwa na ngombe 1,000 ni masikini na analalia ngozi chini!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...