Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Mhe. Mohammed Aboud akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Stemp Mpya ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar,uliofanyika leo kwenye viwanja vya Posta Kijangwani Zanzibar ikiwa ni sehemu ya shamrashamra ya sherehe za Mapinduzi kutimia miaka 50.
Posta Master Mkuu Deos Hamis Mndeme, akitowa maelezoya Stemp Mpya baada ya kuzinduliwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais waZanzibar Mohammed Aboud, katika viwanja vya Posta Kijangwani Zanzibar ikiwa ni shamrashamra ya sherehe za Mapinduzi kutimia miaka 50.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Mhe. Mohammed Aboud  akizungumza na wafanyakazi wa Shirika la Posta katika viwanja vya Ofisi ya Posta Kijangwani wakati wa Uzinduzi wa Stemp Mpya ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Posta Master Mkuu Tanzania Bwa, Deos Hamis Mndeme, akitowa maelezo baada ya kufungulia Kituo cha Mawasiliano kwa Jamii, kilichoko katika jengo la Posta Kijangwani.
Burudani ikitolewa kwenye sherehe hiyo.
Maofisa wa Posta na wageni waalikwa wakifuatilia uzinduzi huo wa stempmpya na kituo cha Mawsiliani kwa Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. 2013. Who uses Stamps?!!!!

    ReplyDelete
  2. Hongera posta kwa uzinduzi.Anayeuliza nani anatumia stamps inawezekana hata shule hakupitia kwani angepita angefahamu nani anatumia stamp na inatumika wapi

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...