JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA MJINI BUNGENI MJINI DODOMA
TEMBELEA TOVUTI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA
BOFYA HAPA
TEMBELEA TOVUTI YA BUNGE MAALUM LA KATIBA
BOFYA HAPA
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ahsante kaka michuzi, Aliyetuumba akuongoze zaidi kwenye haki
ReplyDeletekwangu inakataa kucheza..au ni mtandao upande wangu?
ReplyDeletenimefurahishwa na hotuba hii. hata hivyo maneno ya Jaji Augustino Ramadhani kwamba hili suala linafuatiliwa kimataifa ni kweli. mimi naishi huku Uholanzi na kila mara watu wananiuliza tumefikia wapi. wengine wanafuatilia kila mjadala. nategemea tutapata katiba nzuri sana
ReplyDeleteThanks Ankal, nimeweza kufuatilia hotuba ya Jaji Warioba 1000s miles away from Dodoma. Pia naipongeza Tume ya Warioba, wamefanya kazi kubwa sana.
ReplyDelete