Msikilize Mgombea Ubunge jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama cha CCM,Godfrey Mgimwa akijinadi jioni ya leo kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika katika kijiji cha Sadani kata ya Mseke,Iringa Vijijini.
Home
Unlabelled
UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA,MGOMBEA UBUNGE WA CCM AKIJINADI KWA WANANCHI LEO KIJIJI CHA SADAN-IRINGA VIJIJINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hivi vijiji vinahitaji facelift, bado natafuta centra business district ya Kalenga, kampeni ikifika hapo mtuonyeshe ilituweze kutathmini kiwango cha maendeleo kwenye mikoa inayozalisha vyakula kwa wingi.
ReplyDelete