Mstahiki Meya wa Halmashauri ya
Manispaa ya Ilala, Bw. Jerry Silaa akizungumza na waandishi wa habari jijini
Dar es Salaam jana wakati akitoa wito kwa wananchi jijini kuzingatia alama mpya
za mabadiliko ya baadhi ya njia ya za mabasi ya daladala na magari madogo yanayotazamiwa
kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Pamoja na
matayarisho ya kuanza kwa awamu ya kwanza ya mradi wa mabasi yaendayo haraka
(BRT), mabadiliko hayo yanatarajiwa kupunguza msongamano katika jiji hilo.
Home
Unlabelled
meya wa ilala mstahiki jerry slaa atoa wito wananchi kuzingatia mabadiliko ya baadhi ya njia ya mabasi dar es salaam
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...