Askofu Gervas John Nyaisonga wa Kanisa Katoliki Jimbo la Dodoma akitoa Mahubiri wakati wa Misa ya Pasaka, kuadhimisha miaka zaidi ya elfu mbili tangu Ufufuko wa Yesu Kristo. Ibada hii iliyohudhuriwa na maelfu ya watu imefanyika katika Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma.  

Askofu Gervas John Nyaisonga wa Jimbo katoliki la Dodoma akiwabariki waumini kwenye Misa ya Pasaka katika Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma, kuadhimisha miaka Zaidi ya elfu mbili tangu Ufufuko wa Yesu Kristo kushoto kwake ni Paroko wa kanisa hilo Paroko Daudi Ngimba.

 Waumini wa kanisa katoliki Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma wakifuatilia ibada ya pasaka iliyokuwa ikiongozwa na Askofu Gervas John Nyaisonga.
 Waumini wa kanisa katoliki Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma wakifuatilia ibada ya pasaka iliyokuwa ikiongozwa na Askofu Gervas John Nyaisonga.
 Waumini wa kanisa katoliki Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma wakifuatilia ibada ya pasaka iliyokuwa ikiongozwa na Askofu Gervas John Nyaisonga.
Waumini wa kanisa katoliki Kanisa Kuu la Paulo wa Msalaba Dodoma wakifuatilia ibada ya pasaka iliyokuwa ikiongozwa na Askofu Gervas John Nyaisonga.Na Deusdedit Moshi Mtendaji mkuu wa Photo Solutions na Mwakilishi wa Michuzi Blog Kanda ya kati.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...