Mtafiti
wa Magonjwa ya Binadamu kutoka Taasisi ya Utafiti ya Magonjwa ya
Binadamu Tanzania (NIMR), Dk. Kijakazi Mashoto akiasilisha utafiti wake
juu ya Ugonjwa wa Kipindupindu alioufanya Mkoa wa Pwani katika Wilaya ya
Kisarawe.
NIMR
wameingia katika siku ya pili ya mkutano wao wa 28 wa Mwaka pamoja na
Kongamano la Wanasayansi Watafiti linaloendelea jijini Dar es Salaam
katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Dar es Salaam.
Baadhi ya Wanasayansi Watafiti wakisikiliza ripoti hiyo ya Utafiti kutoka kwa Dk Kijakazi Mashoto wa NIMR.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...