Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao
wakitazama picha za ziara ya hayati Baba wa taifa Mwalimu Julius
Nyerere kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa Uwekezaji kati ya
Tanzania na China kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini Dar es salaam Juni
23, 3014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akimkabidhi zawadi ya kinyago, Makamu
wa Rais wa China, Li Yuanchao kabla ya mgeni huyo kufungua mkutano wa
Uwekezaji kati ya Tanzania na China kwenye ukumbi wa Benki Kuu jijini
Dar es salaam Juni 23, 3014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Rais wa China, Li Yuanchao
wakifungua vitambaa kuashiria uwekaji wa jiwe la msingi la Kitegauchumi
la Mfuko wa Mwalimu Nyerere mjini Dar es salaam Juni 23, 2014. (Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...