Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 4 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 23, 2014

    Totally agreed! went through the same experiences!!!

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 23, 2014

    Swadakta mwandishi:

    Huwezi kumridhisha kila mwanadamu ktk dunia ya Mwenyezi Mungu.

    Ukitaka mafanikio kubali kuchekwa na kuitwa mbaya!

    ReplyDelete
  3. AnonymousJuly 23, 2014

    Mara zooote hao hao wanao kucheka, kukuzungumzia vibaya, kukusengenya, kukudharau na kukukejeli, ndio hao hao watakuja kukuchukia na kukuhujumu pindi utakapo fanikiwa!

    DU, UBINAADAMU WETU HUU NI KAAAZI KWELI KWELI, AFADHALI UMEKUJA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI WATU TUTAJIREKEBISHA KUACHA KUISHI MASIHA YA WEZNETU NA KUWAKALIA WENZETU UTOSINI!

    ReplyDelete
  4. AnonymousJuly 23, 2014


    Asalaam alaykhum Ankal,

    Well said Mr Michuzi. changamoto ndio chachu ya maendeleo kwanza jiamini kisha fanya unachokiweza na unachokipenda utafika tu hakuna cha rahisi duniani siku zote mwanzao mgumu na wakatisha tamaa ni wengi zaidi kuliko waunga mkono lakini ukishafanikiwa wote wanakua kitu kimoja na kukusuport kwa maneno jamaa huyu alikuaga hamna lolote yaani kafanikiwa tu tunamuona hivi hivi. Majuto ni mjukuu usipoteze wakati na fursa ukaja jutia kwakua Fulani kakuvunja moto pambana mpaka kieleweke matokeo ndio iwe uamuzi wako je imefanikiwa na imeshindikana na sio mwisho fikiria jinsi ya kujipanga upya kurekebisha ulipoteleza wote waliofanikiwa wamepitia magumu mengi.

    Wasalaam

    Mdau Sweden

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...