Baadhi ya viongozi wa CCM wilaya ya Ilala wakiwa na mgeni rasmi Alhaji Ramadhan Madabida.
Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala ambao ni wajumbe wa Jumuiya ya Wazazi ya
chama hicho Wilaya ya Ilala wakifuatilia baadhi ya hotuba zilizokuwa zikiwasilishwa katika mkutano huo.
Baadhi ya wajumbe wa mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
Mwenyekiti wa ccm mkoa wa Dar Es Salaam Ramadhan Madabida akiingia Ukumbini kufungua mkutano wa jumuiya ya wazazi ya ccm wilaya ya ilala.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...