JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIA
KURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANO
 
Simu ya Upepo   : “N G O M E”          Makao Makuu ya Jeshi,
Simu ya Mdomo : DSM  22150463      Sanduku la Posta 9203,
Telex                     : 41051                       DAR ES SALAAM, 20, October, 2014
Tele Fax                : 2153426
Barua pepe       ulinzimagazine@yahoo.co.uk
Tovuti                  www.tpdf.mil.tz
                  
Taarifa kwa Vyombo vya Habari
 
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa ya ratiba ya kuaga mwili wa Meja Jenerali Roland Makunda (Mstaafu) aliyefariki tarehe  16 Octoba 2014 wakati akipata matibabu katika Hospitali Kuu ya Kijeshi Lugalo.
 
Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mheshimiwa Dr Hussein Mwinyi  leo tarehe 20 Octoba 2014 mnamo saa nne kamili anatarajia kuongoza Makamanda, wapiganaji na watumishi wa umma katika kuaga mwili wa Marehemu Meja Jenerali Roland Makunda kwenye viwanja vya Hospitali ya Lugalo.
 
  
 
Imetolewa  na  Kurugenzi  ya  Habari  na  Mahusiano
Makao Makuu ya Jeshi, Upanga
S.L.P  9203,   Dar es Salaam,  Tanzania.
Kwa Mawasiliano zaidi: 0783-309963

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...