Mkurugenzi Mtendaji wa Benki
ya Wanawake Tanzania (TWB),
Magareth Chacha (katikati)
akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichai) wakati wa hafla ya kukabidhi hati
za viwanja kwa wateja walionunua na waliomaliza kulipa mikopo yao, Dar es
Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Aaron Nyanda na Mwanasheria wa Ardhi Plan Ltd, Musa Maghimbi. (Picha na Francis Dande)
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki
ya Wanawake Tanzania (TWB),
Magareth Chacha (wa pili kushoto)
akimkabidhi hati ya kiwanja, Mhindi Mayenga wakati wa hafla ya kukabidhi hati
za viwanja kwa wateja walionunua na waliomaliza kulipa mikopo yao, Dar es
Salaam. Kushoto ni Meneja Masoko wa Benki hiyo, Aaron Nyanda na kulia ni
Mwanasheria wa Ardhi Plan Ltd, Musa Maghimbi.
Wateja wa Benki ya Wanawake Tanzania (TWB) wakiwa wameshika hati zao za viwanja baada ya kukabidhiwa na uongozi wa benki hiyo. Kutoka kushoto ni Belinda Rweyemamu, Mhindi Mayenga na Gabriel Kameka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...