Kanisa  la  HHC Catherdral  lilopo  Ilemela  Mwanza  linakukaribisha  kwenye  kongamano  baraka  la  kujengwa  kiuchumi  tarehe  3-12-2014  na  4-12-2024  .Wahubiri ni  Bishop  Joseph  Njoroge  toka  Nairobi  Kenya  na  Bishop  Eugene  Murisa  wa  HHC  Mwanza.
Mahali:  Gold Crest  Hotel kuanzia
Saa  9.00  Alasiri hadi  12.30  jioni.
Hakuna  Kiingilio wote mnakaribishwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...