Kanisa la HHC Catherdral lilopo Ilemela Mwanza linakukaribisha kwenye kongamano baraka la kujengwa kiuchumi tarehe 3-12-2014 na 4-12-2024 .Wahubiri ni Bishop Joseph Njoroge toka Nairobi Kenya na Bishop Eugene Murisa wa HHC Mwanza.
Mahali: Gold Crest Hotel kuanzia
Saa 9.00 Alasiri hadi 12.30 jioni.
Hakuna Kiingilio wote mnakaribishwa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...