MAREHEMU MRS MAUA MPANKULI
KWA KILA JAMBO KUNA MAJIRA YAKE NA WAKATI KWA KILA KUSUDI CHINI YA MBINGU.
MHU 3:1
LEO TAREHE 1 NOVEMBA 2014 UMETIMIZA MWAKA MMOJA KAMILI TANGU UITWE NYUMBANI KWA BWANA. INGAWA TUPO MBALI NA WEWE, LAKINI UMETUTOKA KIMWILI TU, KIROHO TUKO NA WEWE.
UNAKUMBUKWA SANA NA MUME WAKO MPENDWA MARTIN MPANKULI, WATOTO WAKO WAPENDWA JOYCE, ANGELA, GEOFREY, JACKSON, ANTONY, KANALI NA ALEX, NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI.
RAHA YA MILELE UMPE EEH BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE, APUMZIKE KWA AMANI.
AMINA!
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...