Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiliongoza Bunge mjini Dodoma leo,wakati akitoa ufafanuzi kuhusu mtu mmoja kushikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoa wa Dodoma kwa kosa la kupatikana akisambaza Ripoti ya (ESCROW) ya Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali kinyume na Sheria Baada ya Hoja iliyoibuliwa na Mbunge wa Kuteuliwa Mhe.James Mbatia.
Mbunge wa Kuteuliwa Mhe.James Mbatia akiwa amekaa na Hasimu wake wa Siasa jimbo la Vunjo Mhe.Agustino Mrema wakimsikiliza kwa makini Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisalimiana ya wanachama wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka Katoro-Busanda. Aliye valia gauni la njano ni Mbunge wa Busanda Mhe.Lolesia Bukwimba.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akizungumza na wanachama wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka Katoro-Busanda.
Mbunge wa Busanda Mhe. Lolesia Bukwimba (kushoto) akimueleza jambo Waziri wa nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya juu ya ugeni wake wa wanachama wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka Katoro-Busanda,waliotembelea Bungeni Mjini Dodoma leo.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda (katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na wanachama wa chama cha kuweka na kukopa (SACCOS) kutoka Katoro-Busanda,waliotembelea Bungeni Mjini Dodoma leo.
Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto,Mhe. Sofia Simba (kushoto) akifurahia jambo na Mhe.Anna Mkinda wakati wakitoka katika kikao cha Bunge leo. Picha zote na Deusdedit Moshi

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...