Home
Unlabelled
DIRA YA DUNIA YA BBC SWAHILI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Vijana wengi Africa ya Kusini ni wavivu sana. Hawapendi kufanya kazi. Wageni wanaoishi humo wana malengo na wanafanya kazi kwa akili ya maendeleo. Wivu wao ndo sababu za mauaji ya wageni. Fanya kazi kwa bidii na hakuna atakayekulaumu. Ni aibu sana kwa taifa la SA kwa tendo hili walilolifanya. Ulimwengu wote unawashangaa kwa ukosefu wa kufikiri tu.
ReplyDeleteUlichosema mdau hapo juu ni kweli Kanisa - asilimia kubwa ya wasouth afrika kwanza hawajaenda shule wengi wao hawapendi Elimu pili wanachojua wao ni starehe na miziki tu ndio maana kama umegundua wanaelewana sana na watanzania maana vitabia vyao vinataka kufanana, ila hili lilitokea ni uzembe wa serikari yao maana hali hii imetengenezwa muda mrefu
ReplyDelete