+
Ni stori ambazo tumekua nazo mtaani 
kwa kipindi kidogo ila mpaka zimefika 
hapa ujue tumepata kauli sahihi 
ambayo itasema ukweli.

Babu Tale (pichani) ni meneja wa Diamond 
Platnumz, amekutana kwenye hii Exclusive na dstv.com 
na kukubali kuizungumzia hiyo na ishu nyingine zote.

Kama wataka muziki ya kukupendeza basi 
jiburudishe na kipindi ya Official African Chart 
kila Jumanne saa 21:00 kwenye MTV Base.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...