Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya wilaya ya Pangani,Mugiri Emili akisisitiza jambo kwa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau wakati akipotembelea hospitali hiyo kuwafariji wagonjwa na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari ikiwemo mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga kupitia (CUF) Amina Mwidau (mkoba wa bluu) akisalimiana na wakina mama wakati alipotembelea hospitali ya wilaya ya Pangani jana kuwaona wagonjwa kuwafariji na kugawa zawadi mbalimbali ikiwemo sabuni,sukari pamoja na mahitaji muhimu na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa alilolijenga kwa gharama za sh.milioni tano na mbunge huyo.
Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Tanga(CUF) Amina Mwidau akiwa kwenye picha ya pamoja na wahuduma wa hospitali ya wilaya ya Pangani jana mara baada ya kuwatembelea wagonjwa hospitalini hapo kugawa zawadi na kukabidhi jengo la kupumzikia wagonjwa wanaokwenda kupata matibabu ambalo limejengwa na mbunge huyo kwa gharama za kiasi cha shilingi milioni tano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...