NA NASIBU MGOSSO.

 Awali ya yote nichukue fulsa hii kuomba radhi kwa makosa ya kiuandishi yaliyo jitokeza katika makala iliyopita  ambayo  mwanzoni  mwa paragrafu  ya kwanza nilianza kueleza moto nikitugani,  lakini katika maelezo kulitokea mkanganyiko,  Sehemu hiyo ilipaswa isomeke hivi:

Moto ni mgongano endelevu  wa  kikemikali ambao uzaa joto na mwanga.  Mgongano  huo  endelevu   utasababisha muwako  ambao  utaendelea   kukua  endapo  utapata  vitu vikuu  vitatu  ambavyo  ni joto,  hewa  ya  oksijeni  na kuni(vitu  vinavyoungua).   Vituhivyo  kitaalam  tunaviita  ’fire element’.

Oksijeni nimiongoni mwa  vitu vinavyo  saidio moto kuwaka  haizalishwi na moto kamailivyo someka  katika  makala iliyo pita.
Baada ya marekebisho hayo  sasa tuendelee na  kinga na taadhari dhidi  ya moto.

Kunavyanzo vingi vya moto  lakini chanzo kikubwa ni  sisi  Binadamu  kwa sababu  ya asili na alakati za maisha ya kila siku  kuhusisha matumizi ya moto kwa   maana ya mwako,  nishati ya umeme pamoja na vyombo vya usafiri na usafirishaji.  Katika mahitaji hayo inatulazimu kujenga urafiki na moto bila kujali hatari iliyopo.

Aina ubishi kwamba moto ni nyenzo muhimu katika  maisha yetu ya kila siku,   na niadui yetu mkubwa  sana anaye penda kutu shambulia  akitokea ndani ya jengo au chombo .  

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 07, 2015

    Michuzi,
    Kuna umuhimu wa waandishi wa makala kuandika maneno kwa ufasaha, mfano ktk makala hii muhimu makosa ya kiuandishi ni mengi na aibu kubwa kwetu Waswahili :
    ''Aitha''= Aidha
    ''Aina'' = Haina
    ''Fulsa'' = Fursa

    Yaani hata kusoma hii makala inatia hasira sana.

    Mdau
    Christos Papachristou
    Diaspora

    ReplyDelete
  2. AnonymousJuly 07, 2015

    Alakati-Harakati
    Ualibifu-Uharibifu
    Badirisha-Badilisha
    Ajari-Ajali

    Inaonekana Mzee Kifimbo cheza amestaafu.

    Dr Bitozi.

    Mamtoni.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...