Mkurugenzi Mkuu wa
Ofisi ya Taifa ya Takwimu Dkt. Albina Chuwa (Kulia) akipiga makofi mara baada
ya Mgeni rasmi kufungua Kikao cha Pili cha Baraza la Nne la Wafanyakazi wa
Ofisi ya Taifa ya Takwimu lililofanyika jana katika ukumbi wa Hazina Ndogo mkoani
Dodoma. Kushoto kwake ni Katibu wa Baraza hilo Magreth Jacob.
Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani akimkabidhi
cheti Mfanyakazi bora wa mwaka 2014 Joshua Mwaisemba mara baada ya kufungua Kikao
cha Pili cha Baraza la Nne la Wafanyakazi wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu
lililofanyika jana katika ukumbi wa Hazina Ndogo mkoani Dodoma.
Mgeni
rasmi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya
Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani akimkabidhi hundi mmoja wa wastaafu
wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu Ibrahimu Masanja mara baada ya kufungua Kikao
cha Pili cha Baraza la Nne la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo lililofanyika jana katika
ukumbi wa Hazina Ndogo mkoani Dodoma
Mgeni rasmi, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Selina Kombani (wa tatu
kutoka kushoto) akiwa na menejimenti ya Ofisi ya Taifa ya Takwimu mara baada ya kufungua Kikao
cha Pili cha Baraza la Nne la Wafanyakazi wa Ofisi hiyo lililofanyika jana katika
ukumbi wa Hazina Ndogo mkoani Dodoma.
Picha na Veronica Kazimoto
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...