.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasalimia mamia ya wakazi wa mji wa Tanga waliojitokeza katika mkutano mkubwa wa hadhara ambapo aliwaaga rasmi na kumpa zawadi mbalimbali jana  jioni 

 Baadhi ya wanafunzi wa shule mbalimbali za mkoa wa Tanga wakiandamana wakati wa sherehe za maadhimisho  ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yaliyofanyika kitaifa katika viwanja vya Tangamano jijini Tanga
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizindua stika maalumu zing’aazo zitakazosaidia kupunguza ajali kwakuwa magari makubwa yataonekana kwa mbali na waendesha gari wengine hivyo kuepisha magari kugongana.kulia ni Kamanda Mkuu wa Usalma Barabarani kitaifa Mohamed Mpinga.
 Askari wa kikosi cha usalama barabarani akimuonesha Rais Kikwete kidhibiti mwendo cha magari maarufu kama tochi wakati Rais liapotembelea mabanda ya maonyesho wakati wa wiki ya usalama barabarani ilkiyofanyika kitaifa mkoani Tanga
Mtoto wa shule ya msingi mjini Tanga Doreen John akitoa maelezo ya matumizi sahihi ya barabara kwa Rais Dkt,Jakaya Mrisho Kikwete wakati Rais alipotembelea mabanda kadhaa ya maonyesho katika viwanja vya Tangamano,mjini Tanga wakati wa maadhimisho ya sherehe ya wiki ya nenda kwa usalama iliyofanyika mkoani Tanga.Picha na Freddy Maro

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...