Afisa Michezo Wizara ya Habari, Vijana,
Utamaduni na Michezo Bw. Gordon Nsajigwa akimpatia mmoja wa wachezaji wa Timu
ya Taifa ya mpira wa miguu ya wanawake tiketi jana jioni tayari kwa safari ya kuelekea Congo
Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All African Games), kushoto aliyevaa
suti ni Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw. Leonard Thadeo.
Wachezaji
wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air
Tanzania) jana jioni tayari kwa kuanza
safari ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika
(All African Games
Wachezaji
wa Timu ya Taifa wakipanda ndege ya Shirikia la Ndege la Tanzania (Air
Tanzania) jana jioni tayari kwa kuanza
safari ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwa ajili ya Mashindano ya Afrika
(All African Games
Mkurugenzi wa Idara ya Maendeleo ya Michezo Bw.
Leonard Thadeo kushoto akimkabidhi mmoja wa wanariadha Bendera ya Taifa tayari
kwa safari ya kuelekea nchini Congo Brazaville kwenye mashindano ya Afrika (All
African Games), Timu hiyo iliondoka jana jioni na ndege ya Shirika la Ndege la
Tanzania. Picha na Benjamin Sawe-
WHVUM
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...