Mgombea wa udiwani kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi CCM kata ya Ndugumbi, jimbo la Kinondoni, Thadey Massawe,akizungumza sambamba na kuomba kura ili achaguliwe kuwa diwani wa kata hiyo mbele ya wanachama wa  chama chake  eneo la Texas Magomeni Kagera Dar es salaam jana.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...