Wakazi mbalimbali mkoani Lindi wajumuika katika kufanya usafi wa mji huo huku msanii Mrisho Mpoto akiunga mkono juhudi hizo kwa kushiriki. https://youtu.be/mBCEkJQZauA
Mkazi mmoja mkoani Lindi afariki dunia baada ya kuangukiwa na udongo wakati akichimba mchanga na kupelekea mkuu wa wilaya hiyo kusitisha shughuli za uchimbaji. https://youtu.be/LKuZvVb_arU
Umoja wa wanawake wa chama cha mapinduzi UWT wawaomba wananchi na viongozi wote wa dinizote nchini kumuombea Raisi Magufuli ili aweze kuendelea na hatua anazochukua ili kuleta tija kwa wananchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...