SIMU.TV:  Elimu imeanza kutolewa kwa shule za msingi Ruvuma ili kuelimisha wanafunzi kupinga unyanyasaji na ukatili wa kijinsia na watoto;https://youtu.be/GFt6GqN4F0s  
SIMU.TV:  Wananchi wa Zanzibar wameitupia lawama manispaa kwa kushindwa kurekebisha mfumo wa  maji taka katika maeneo yao; https://youtu.be/NOTW6L1y18k 
SIMU.TV:  Wanachama wa waongoza watalii Mlima Kilimanjaro wamekataa wito kusitisha mgomo wao wa utoaji huduma za upagazi; https://youtu.be/0_ISuS1WcSY 
SIMU.TV:  Fuatilia muendelezo wa habari ya kuporomoka kwa kifusi katika mgodi wa dhahabu Mkoani Shinyanga; https://youtu.be/NfpQT-mzCXc
SIMU.TV:  Serikali imetoa ufafanuzi wa bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na makusanyo ya fedha kwa robo ya mwaka huu; https://youtu.be/LYIDt-MSITQ
 SIMU.TV:  Mashabiki wa timu ya Kagera Sugar wameeleza matarajio yao juu ya maendeleo ya timu hiyo kufuatia matengenezo ya uwanja wa Kaitaba;https://youtu.be/rqIeGph3fhc

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...