SIMU.TV: Elimu imeanza kutolewa kwa shule za msingi Ruvuma ili kuelimisha wanafunzi kupinga unyanyasaji na ukatili wa kijinsia na watoto;https://youtu.be/GFt6GqN4F0s
SIMU.TV: Wananchi wa Zanzibar wameitupia lawama manispaa kwa kushindwa kurekebisha mfumo wa maji taka katika maeneo yao; https://youtu.be/NOTW6L1y18k
SIMU.TV: Wanachama wa waongoza watalii Mlima Kilimanjaro wamekataa wito kusitisha mgomo wao wa utoaji huduma za upagazi; https://youtu.be/0_ISuS1WcSY
SIMU.TV: Fuatilia muendelezo wa habari ya kuporomoka kwa kifusi katika mgodi wa dhahabu Mkoani Shinyanga; https://youtu.be/NfpQT-mzCXc
SIMU.TV: Serikali imetoa ufafanuzi wa bajeti yake kwa mwaka wa fedha 2014/2015 pamoja na makusanyo ya fedha kwa robo ya mwaka huu; https://youtu.be/LYIDt-MSITQ
SIMU.TV: Mashabiki wa timu ya Kagera Sugar wameeleza matarajio yao juu ya maendeleo ya timu hiyo kufuatia matengenezo ya uwanja wa Kaitaba;https://youtu.be/rqIeGph3fhc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...