Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kati, Balikulije Mchome(wakwanza kushoto)akisaidia kutandika shuka katika wodi ya Watoto hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma mara baada ya kukabidhi msaada wa mashuka na magodoro pamoja na vitu mbalimbali jana ktoka Vodacom Foundation wenye thamani ya zaidi shilimgi milioni 18,Katikati Doris Mollel mwanzilishi wa taasisi ya kusaidia watoto ya Doris Foundation,na Mkuu wa Idara ya watoto ya hospitali hiyo Dkt.David Mzava.
 Mganga Mfawidhi hospitali ya Rufaa ya Dodoma Dkt. Zainabu Chaula (kushoto)akikabidhiwa msaada wa mashuka na Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kati,Mruta Hamisi jana kwa ajili ya wodi ya watoto hospitalini hapo,Vodacom Foundation ilitoa msaada wa mashuka 200,mito 200 na magodoro 100 vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya sh milioni 18.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma,Chiku Galawa (katikati) akikabidhiwa msaada wa magodoro 100 na Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kati,Mruta Hamisi (kushoto)Jumla ya magodoro 100 ,mashuka 200 na mito 200 vyote vyenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 18 vilitolewa msaada na Vodacom Foundation hospitalini hapo kwa ajili ya wodi ya watoto, Anayeshuhudia kulia Mganga Mfawidhi wa hospitali hiyo Dkt. Zainabu Chaula.
 Mganga Mfawidhi hospitali ya Rufaa ya Dodoma Dkt. Zainabu Chaula (kushoto)akikabidhiwa msaada wa muto wa kulalia na Mkuu wa Vodacom Tanzania Kanda ya Kati,Mruta Hamisi jana kwa ajili ya wodi ya watoto hospitalini hapo,Vodacom Foundation ilitoa msaada wa mashuka 200,mito 200 na magodoro 100 vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya sh milioni 18 .Katikati Doris Mollel mwanzilishi wa taasisi ya kusaidia watoto ya Doris Foundation.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...