Mtoa mada kuhusu Huduma kwa mteja Bi. Joy Nyabongo akiwafunza maafisa habari na mawasiliano wa Serikali kuhusu jinsi gani ya kutoa huduma nzuri kwa wateja wao wanapokuwa katika vituo vyao vya kazi.
Mtoa mada kuhusu Huduma kwa mteja Bi. Joy Nyabongo akigawa moja ya DVD kwa afisa habari wa TFDA Bi.Gaudensia Simwanza kwa ajili ya kumsaidia katika utendaji wa kazi yake.DVD izo zina mafunzo mbalimbali yanayousu kumhudumia vyema mteja.
Mtaalamu wa masuala ya Itifaki Balozi Chilambo(aliyesimama) akitoa mada kuhusu itifaki kwa maafisa mawasiliano na habari wa serikali watakapokuwa katika majukumu ya kiserikali.
Afisa Habari wa jiji la Mwanza Bw.Kaaya Elirehema Mosses akichangia jambo wakati wa kikao kazi cha maafisa habari wa serikali kinachofanyika jijini mkoani Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...