Daktari Bingwa wa Kinywa na Meno wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Conrad Mselle  akimfanyia  usafi wa nywele  mmoja wa watoto wanao lelewa katika Kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi waliopo Buhangija Mkoani shinyanga walipofika katika kituo hicho kwa mwendelezo wa Wiki ya Afya ya Kinywa na Meno ambapo kilele chake ni Machi 20, Mkoani Morogoro. 
  Daktari Bingwa wa Kinywa na Meno wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Conrad Mselle  akimfanyia uchunguzi wa Afya ya Kinywa na Meno Mwanafunzi wa Darasa la pili  Lucia  Eliasi wa Kituo cha watoto wenye ulemavu wa ngozi kilichopo Mkoani Shinyanga, Buhangija   ambapo ni mwendelezo wa wiki ya kinywa na meno duniani na kwa leo wameonwa  watoto157 na kesho ni mwendelezo wawale waliokutwa na matatizo.

 Daktari bingwa wa Afya ya Kinywa na Meno  Hospitali ya Mkoa wa Shinyanga Dk. Nuru Mpuya  na akimwakilisha Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga  Dk. Ntuli Kapologwe, akizungumza jambo, kushoto ni Kiongozi wa Msafara Dk.  Arnold Mtenga
  msimamizi wa Kituo cha Buhangija na Mwalimu wa Elimu Maalum na watoto wasioona,  Sasu Nyanga , akiwakaribisha Madaktari bingwa wa Afya ya Kinywa na Meno.
Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Dr Conrad Mselle Mungu akuabariki Zaidi kwa kitendo cha kumfanyia usafi wa kichwa pia huyo mtoto ni upendo wa ziada ya kile kilichokupeleka hapo kituoni

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...