Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange (wa tatu kutoka
kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na wakuu wa wapya wa Mikoa ma Jenerali wastaafu
mara baada ya kuapishwa, walipomtembelea ofisini kwake Upanga Dar es
salaam. Kutoka kushoto ni Meja jenerali mstaafu Raphael Muhuga (Mkuu wa
Mkoa wa Katavi),Meja Jenerali Mstaafu Salum Kijuu (Mkuu wa Mkoa wa
Kagera),kutoka kulia Brigedia Jenerali mstaafu Emmanuel Maganga (Mkuu
wa Mkoa wa Kigoma) na Meja Jenerali Mstaafu Ezekiel Kyunga (Mkuu wa
Mkoa wa Geita).Kushoto kwa Mkuu wa Majeshi ni Mnadhimu Mkuu wa JWTZ
Luteni Jenerali Venance Mabeyo.
Home
Unlabelled
MKUU WA MAJESHI AKUTANA NA MAJENERALI WASTAAFU WALIOTEULIWA KUWA WAKUU WA MIKOA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Mabosi wake hao sasa hivi.
ReplyDelete