Ofisa Afya na Usalama mahali pa kazi kutoka kampuni ya kuchimba madini ya Acacia Bulyanhulu, Michael Nota (kushoto) akitoa maelezo ya jinsi ya kutumia vifaa ya usalama kwa watu waliofika katika banda la kampuni hiyo katika maonyesho ya sherehe za mei mosi kitaifa mjini Dodoma jana, yaliyoandaliwa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakaz Tanzania (TUCTA).
Watu wakitoa maoni yao walipofika katika banda la ACACIA
Ofisa Afya na Usalama mahali pa kazi kutoka kampuni ya kuchimba madini ya Acacia, Michael Nota akionyesha ramani inayoonyesha maeneo yanayopatikana madini.
Baadhi ya watu wakipimwa HIV walipofika katika banda la Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Dodoma.
Emergency Purpose Officer wa GGM, Mwaimu Mohamed (kulia) akionyesha vifaa vya kutoa huduma ya kwanza.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...