Dereva wa gari la ubalozi lililogongwa kwa nyuma akijaribu kuongea na dereva na konda wa daladala lililosababisha ajali hiyo. Haikujulikana mara moja kama waliweza kuelewana na yaliishaje maana ripota wetu aliyekuwa anapita kwa gari hakuweza kusimama maeneo ya Msasani jirani na ofisi za ZANTEL jijini Dar es salaam leo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...