Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Oxfam Tanzania Jane Foster(aliyesimama) akiwapongeza washiriki wote waliojaza fomu za kushiriki shindano la mama shujaa wa chakula msimu wa tano 2016 kutoka mikoa mbalimbali nchini. 
Aliyekuwa mshiriki wa shindano la Mama Shujaa wa Chakula msimu uliopita Ester Kulwa akionesha kanda zote ambazo washiriki wametokea.

Mabalozi wa Chakula na Kampeni ya Grow inayoendeshwa na Shirika la Oxfam kwa upande wa Tanzania Shamim Mwasha ambaye pia ni Fashion Blogger(wa kwanza kushoto), Jacob Stephen 'JB' Msanii Maarufu wa Bongo Movie(wa katikati) na Khadija Mwanamboka wakitangaza majina 19 ya washiriki wa shindano la Mama shujaa wa chakula 2016 msimu wa tano.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...