Kutoka kushoto ni Balozi wa Lesotho nchini Marekani Mhe. Prof. Eliachim Molapi Sebatane, Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Wilson Masilingi, Balozi wa Rwanda nchini Marekani Mhe. Prof. Mathilde Mukantabana na Mke wa Balozi wa Ethiopia nchini Marekani Mama Biru wakiongea mawili matatu walipokua kwenye mchapalo kabla ya Gala dinner kuanza.
Washereheshaji wa siku ya Afrika kutoka kushoto Vicent Makori, mtangazaji Voice of America na Mareen Uheh mtangazaji kituo cha luninga cha FOX NEWS.
Baadhi ya mabalozi wa Afrika nchini Marekani wakiwa katika picha ya pamoja. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Meza na 34 na 39 zimekaa vizuri sana. Hongera Tanzania
ReplyDelete