Wafanyakazi wa ZFDB wakipakia shehena ya bidhaa zilizoharibika tayari kwenda kuangamizwa katika Dampo la Kibele Mkoa Kusini Unguja.
Bidhaa mbali mbali zilizoharibika zikiteremshwa kutoka kwenye gari na wafanyakazi wa Bodi ya chakula na Vipodozi katika Dampo la Kibele kwa ajili ya kuangamizwa.Bidhaa mbali mbali zilizoharibika zikiteremshwa kutoka kwenye gari na wafanyakazi wa Bodi ya chakula na Vipodozi katika Dampo la Kibele kwa ajili ya kuangamizwa.
Mkuu wa Idara ya Usalama na Ubora wa chakula wa ZFDB Aisha Suleiman Mubandakazi akizungumza na waandishi wa habari juu ya zoezi la kuangamiza bidhaa mbali mbali zilizoharibika na zilizokatazwa kwa matumizi ya binadamu.Mkuu wa Idara ya Usalama na Ubora wa chakula wa ZFDB Aisha Suleiman Mubandakazi akizungumza na waandishi wa habari juu ya zoezi la kuangamiza bidhaa mbali mbali zilizoharibika na zilizokatazwa kwa matumizi ya binadamu.
Bordoza la Manispaa ya Zanzibar likiwa kazini kuangamiza bidhaa hizo katika eneo la Kibele Mkoa Kusini Unguja.
Wafanyakazi wa ZFDB wakiongozwa na Mkuu wa operesheni ya uangamizaji bidhaa zilizoharibika Abdulaziz Shaib Mohamed (katikati) mwenye shati wakifuatilia uangamizaji wa bidhaa hizo. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...