Bwana harusi Samwel Milego na Bi. Florida Kahatano wakionyesha vyeti vyao mara baada ya kumaliza kufunga ndoa yao takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016. PICHA ZOTE NA CATHBERT KAJUNA WA KAJUNASON BLOG.
Bwana harusi Samwel Milego akimvalisha pete Bibi harusi Florida Kahatano wakati wakifunga ndoa takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Bwana harusi Samwel Milego akila kiapo mbele ya mkewe Bi. Florida Kahatano wakati wakifunga ndoa takatifu Jerusalem church of God lililoko Yombo Vituka jijini Dar es Salaam Jumamosi Aprili 30, 2016.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...