Balozi wa Japan Nchini Tanzania, Masaharu Yoshida(kulia) akimpongeza kwa kumshika mkono Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera,Bunge, Kazi,Vijana,Ajira na Walemavu, Dk. Abdallah Possi mara baada ya kuzindua Programu maamlumu ya Arise yenye lengo la kuelimisha jamii kupiga vita Ajira kwa Watoto katika Sekta ya Kilimo iliyozinduliwa Mkoani Morogoro juzi.
Balozi wa Japan Nchini Tanzania, Masaharu Yoshida, akizungumza na wageni waalikwa wakati wa ya kuzindua Programu maamlumu ya Arise yenye lengo la kuelimisha jamii kupiga vita Ajira kwa Watoto katika Sekta ya Kilimo iliyozinduliwa Mkoani Morogoro juzi.
Mkurugenzi wa miradi ya jamii Duniani kutoka JTI(Global Director,Social Programs), Elaine McKay, akizungumza na wageni waalikwa(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Programu maamlumu ya Arise yenye lengo la kuelimisha jamii kupiga vita Ajira kwa Watoto katika Sekta ya Kilimo iliyozinduliwa Mkoani Morogoro juzi.

Na mwandishi wetu, Morogoro

KAMPUNI ya Sigara ya JTI Tanzania imezindua mpango mpya uitwao ARISE wenye lengo la kupunguza ajira kwa watoto kwenye sekta ya kilimo.

ARISE ambapo kwa kirefu inamaanisha (Achieving Reduction of Child Labor in Support of Education) ni mradi endelevu wa miaka mingi ulioanzishwa nchini Brazili na Malawi kwa ajili ya Jamii ambapo zinajiusisha na shughuli za kilimo cha Tumbaku.

BOFYA HAPA KUSOMA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...