Kwa mara ya kwanza MDHIBITI NA MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI CAG profesa MUSSA JUMA ASSAD amezungumzia ripoti yake katika kipindi cha Mizani ya Wiki AZAM TV ambapo amesema kwa hatua zinazochukuliwa na serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika kuwaajibisha watumishi walioshindwa kutekeleza majukumu yao anaamini mapendekezo yalipo katika ripoti yake yatachukuliwa hatua stahiki ili kuwawajibisha viongozi walioisabiashia serikali hasara ya mabilioni ya mafedha .usikose kuangalia kipindi hiki jumapili saa mbili na nusu hapa AZAM TWO ndani ya mizani ya wiki na JAMALY HASHIM.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...