Ndugu Wapendwa,
Sote tunaifahamu hali ya maisha duni wanayopambana nayo baadhi ya watoto mayatima kule Zanzibar. Hatuwezi kuibadilisha hali yao hio, lakini tunaweza angalau siku moja kuwafutarisha vizuri katika hii Ramadhani ijayo na kuwapa mkono wa Eid siku ya Sikukuu.
Kwahivyo, ZANZIBAR-CANADIAN DIASPORA ASSOCIATION (ZACADIA) ya Toronto, Canada, inatoa wito kwa Wazanzibari wote wanaoishi nje kuungana pamoja ili kuwafutarisha watoto hao mayatima na kuwapa mkono wa Eid siku ya Sikukuu.
Kama unaguswa na hali ya mayatima kule Zanzibar basi changia chochote unachokiweza ili watoto hao mayatima wafutari vizuri angalau hio siku moja katika Ramadhani ijayo na siku ya Sikukuu wapate mkono wa Idi.
Tafadhali changia and Allah will reward you, Inshaa Allah!
Hii kampeni itamalizika Ramadhani ya 10, ili kabla Ramadhani haijesha tupate muda wa matayarisho ya shughuli ya kufutarisha hao mayatima kule Zanzibar na pia kupata muda wa kuwanunulia nguo za Sikukuu, kwani hali zao kama mnavyoona pichani hapa juu ni taabani
Tuma mchango wako kwa muwakilishi aliekuwepo karibu na wewe:
CANADA:
Hassan Othman @+1.647.404.8618 (Toronto)
Bi Shahida Hamad @+1.289.696.3089 (Toronto)
U. S. A
Mohammed Masoud @1.330.880.9524 (Ohio)
UNITED KINGDOM:
Miss Fauzia Karama @+44.7847.024.456 (Manchester)
Abdalla Juma (Dulla Ndende) @ +44.7909.225.287 (Milton Keynes)
EUROPE:
Dr. Muhammed Mwinyi Khami @ +46.70.426.9707 (Scandinavia / Sweden)
Nabil Salum (Nasser) / NASMO @ +32.487.28.39.96 (Belgium)
MIDDLE EAST:
Mohamed Omar @ +971.50.424.6878 (Dubai, U.A.E)
Ali Said Ali @+968.9.509.7454 (Muscat, Oman)
FAR EAST:
Suleiman Ali Al Rawahy @+81.80.4027.3510 (Japan)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 31, 2016

    Tuliokua Africa nje ya Tanzania tunapeleka wapi?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...