Mbunge WA jimbo  ilemela na Naibu waziri a Aridhi nyumba na maendeleo ya makazi Dkt.Angeline Mabula amempokea mtoto Getrude mjini dodoma baada ya kuwasili kutoka nchini marekani alipokwenda kuwa wakilisha maripota watoto duniani ktk mkutano WA UN.mtoto Getrude ni mwana ilemela anae soma shule ya mnarani wilayani hapa.awapo bungeni kesho mtoto Getrude atapata nafasi ya kutambulishwa rasmi  bungeni na atakutana na viongozi mbalimbali WA serikali.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 02, 2016

    Hong era sana Mbunge kwa kumtambua kijana wetu. Hawa ndio watu tungetarajia Wizara yetu ya mambo ya nje wangewatangaza lakini wako busy kusafiri tu na kugombana na wakenya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...