Home
Unlabelled
RAIS DKT. MAGUFULI AWAONYA WALIOFICHA SUKARI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Atukumbuke watu katavi mpanda tupo kisiwani hatuna barabara hata moja ya lami
ReplyDeleteMUNGU AZIDI KUMLINDA JPM,ILI ATUMBUE MAJIPU VIZURI
ReplyDeleteThe mdudu, Asante sana rais wetu mpendwa JPM tupo pamoja Tanzania yetu si shamba la bibi tena nyoosha nchi yetu maana ilipinda pinda pasipo na maelezo,,,, hata hao wapinzani wanapinga kila kitu sisi wananchi tushaweka pamba masikioni hata waseme nini sisi hatusikii la mtu zaidi yako wewe rais wetu mpendwa JPM
ReplyDeleteWatanzania tukubali kiza kwa wakati huu ili tuweze kupata mwanga mkali wa mafanikio, kikubwa ni kumpa sapoti raisi wetu na tujue mambo haya ni mnyoosho tu, siku zote chanzo cha alfajiri ni kiza kinene cha usiku wa manane
ReplyDelete