"Safari ya kutoka Ifakara kwenda wilaya za Malinyi na Ulanga ni ngumu kuliko unavyoweza kuelezea, kukwama barabarani na kulala njiani sasa ni vitu vya kawaida kama inavyoonekana hapa" Picha kwa hisani ya Vedasto Msungu Technologies.
Baadhi ya Abiria wakijishughulisha namna ya kujinasua kwenye eneo hilo kutokana na hali halisi ionekanavyo pichani
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...