Watangazaji mahiri Gerald Hando na Paul James (PJ) wameanza rasmi kutangaza 93.7 Efm redio siku ya leo ya tarehe 02/05/2016 katika kipindi cha Joto la asubuhi kilichoboreshwa wakiwa pamoja na Adela Tilya live nje ya jengo la K- net house zilipo ofisi za E fm. Kipindi hiki kinarushwa kuanzia Jumatatu hadi Ijumaa saa 12:00 hadi saa 3:00 Asubuhi. Usipitwe.
 Kutoka kushoto ni Gerald Hando, Adella Tillya, pamoja na Paul James wakitangaza kipindi cha JOTO LA ASUBUHI live chini ya jendo la K-net house Kawe Beach Dar es salaam leo asubuhi.
  Rdj Spar akisababisha muziki live katika kipindi hicho asubuhi ya leo
  Timu nzima ya Joto la Asubuhi katika picha ya pamoja na baadhi ya mashabiki wa Efm Redio walioshiriki katika kipindi hicho
 Timu nzima ya joto la asubuhi pamoja na Rdj spar,
Gerald Hando akiwa katika picha ya pamoja na Baba yake mzazi  pamoja na dada yake walipofika katika ofisi za EFM  redio kumpongeza.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...