Wadau wa Globu ya Jamii jijini London Uingereza hivi karibuni walikutana pamoja katika Mghahawa wa Britania, uliopo Canary Wharf, na kupata mnuso wa jioni, wakiongozwa na Mdau muandamizi wa Libeneke hili, Chris Lukosi (wa pili kulia).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...