Kiasi cha watu 32 wameripotiwa kupoteza maisha hadi sasa  na zaidi ya 60 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea katika mlango wa kuingilia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ataturk jijini Istanbul usiku huu katika kile kinachosadikiwa kuwa ni shambulio la kikundi cha ISIS.
inasadikiwa washambulizi magaidi  watatu wa kujitoa muhanga wamesababisha shambulio hilo baada ya kujilipua katika sehemu mbili tofauti za uwanja huo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJune 29, 2016

    Poleni wafiwa ugaidi ni janga kweli katika dunia ya sasa.

    ReplyDelete
  2. AnonymousJune 29, 2016

    HAWA MAGAIDI WALAANIWE PUMBAVU ZAO

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...