Kiasi cha watu 32 wameripotiwa kupoteza maisha hadi sasa na zaidi ya 60 kujeruhiwa kufuatia shambulio la kigaidi lililotokea katika mlango wa kuingilia uwanja wa ndege wa kimataifa wa Ataturk jijini Istanbul usiku huu katika kile kinachosadikiwa kuwa ni shambulio la kikundi cha ISIS.
inasadikiwa washambulizi magaidi watatu wa kujitoa muhanga wamesababisha shambulio hilo baada ya kujilipua katika sehemu mbili tofauti za uwanja huo.
Poleni wafiwa ugaidi ni janga kweli katika dunia ya sasa.
ReplyDeleteHAWA MAGAIDI WALAANIWE PUMBAVU ZAO
ReplyDelete