Mdau Juma Mohammed Salum wa Idara ya Habari (MAELEZO Zanzibar) akiwa na mhitimu mwenzake wa PhD ambao wametunukiwa vyeti vyao jana na Chuo Kikuu cha Shanghai International Studies University katika mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo jana.
Juma Mohammed Salum wa Idara ya Habari (MAELEZO Zanzibar) akiwa na wahitimu wenzake wa PhD baada ya kula nondozzz zao
Wahitimu wa Chuo Kikuu cha Shanghai International Studies University katika mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo jana.
Mdau Juma Mohammed Salum akiwa na wahitimu wenza wa Chuo Kikuu cha Shanghai International Studies University katika mahafali yaliyofanyika Chuoni hapo jana.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...