Bi Julieth Mwasi kushoto akimvisha pete ya ndoa mumewe Bwana Pius Mateso Ndimbo wakati wa ibada yao ya ndoa iliyofanyika katika kanisa la Mt Alois Gonzaga Mjini Mbinga mkoani Ruvuma.
Maharusi Pius Mateso na Julieth Mwasi katikati wakiwa na wasimamizi wao katika kanisa la Mt Alois Gonzaga wakati wa ibada yao ya ndoa iliyofanyika mjini Mbinga. 
Maharusi Bwana Pius Mateso Ndimbo na mkewe Julieth Mwasi wakiwa na nyuso za furaha mara baada ya kufunga ndoa katika kanisa la Mt Alois Gonzaga Parokia ya Mbinga , na kufuatiwa na sherehe ya kuwapongeza iliyofanyika katika ukumbi wa Uvikambi Mbinga mjini mkoani Ruvuma.

Picha zote na Muhidin Amri

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...