Mtendaji wa kijiji cha Tungi kata ya Mkamba Idd Kambangwa mbaye pia ametumbuliwa jipu kutokana na utendaji wake mbovu akikabidhi risala  kwa Mbunge Abdallah Ulega mara baada ya kufanya ziara ya kushukuru kijijini hapo leo.
 Wananchi wa kijiji cha Tungi, kata ya Mkamba wilayani Mkuranga wakimsikiliza kwa makini Mbunge wao Abdallah Ulega wakati akitoa salamu zake za kuwashukuru kwa kumchagua kuwa Mbunge wa jimbo hilo katika uchaguzi uliofanyika mwakajana ambapo pia katika mkutano huo Ulega alichangia sh. Milion moja kwa ajili yakuaza ujenzi wa shule msingi kijijini hapo.
(Picha na Emmanuel Massaka,Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...