Mkuu wa usalama barabarani kanda maalum ya Dar es salaam (ZTO) ACP Awadhi Haji akitoa elimu kwa madereva wa bodaboda waliopo kituo cha daladala cha Tegeta mapema leo, akiwataka wafuate sheria za usalama barabarani ikiwemo kuvaa kofia ngumu pamoja na abiria wao,kwani wasipovaa Kofia ngumu watachukuliwa hatua Kali zankisheria ikiwemo kupelekwa mahakamani. Vilevile amewataka kutojihusisha na vitendo vya kihalifu wakiwa na pikipiki zao na akawataka madereva hao wawe wasafi pindi watoapo huduma kwa wananchi.
Mkuu wa usalama barabarani kanda maalum ya Dar es salaam (ZTO) ACP Awadhi Haji akiendelea kutoa elimu kwa madereva wa bodaboda waliopo kituo cha daladala cha Tegeta mapema leo
Mkuu wa usalama barabarani kanda maalum ya Dar es salaam (ZTO) ACP Awadhi Haji akiendelea kutoa elimu kwa madereva wa bodaboda waliopo kituo cha daladala cha Tegeta mapema leo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...