Taarifa iliyotufikia inaeleza kuwa, Mwandishi Mkongwe nchini na Mwenyekiti wa Bodi ya Gazeti la Raia Mwema, Jenerali Ulimwengu amepata ajali mapema asubuhi ya leo, na kupelekwa hospitali ya Taifa ya Muhimbili kitengo cha mifupa Moi kwa matibabu. 
Ajali hiyo imehusisha gari alilokuwa akiendesha yeye aina ya Benz na gari nyingine iliyoigonga gari hiyo upande wa Ubavuni.

Mwandishi mkongwe Jenerali Ulimwengu akijuliwa hali na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mhe. Paul Makonda katika  Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) Dar es Salaam ambako amelazwa kwa matibabu baada ya kujeruhiwa katika ajili iliyotokea Mikocheni, Dar es Salaam.

Gari alilokuwa anatumia mwandishi mkongwe Jenerali Ulimwengu baada ya ajali hiyo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Nakutakia speed recovery mwanamapinduzi Taifa zima bado linahitaji mchango wango muhimu. Pole sana!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...